KARIBU UWESESCO - SKULI YA SEKONDARI YA UWELENI; P.O.BOX 100; TEL: +255 24 245 6182; EMAIL: uwesesco@gmail.com ;WEB: http://uwesesco.blogspot.com UWELENI MKOANI PEMBA...
Showing posts with label HABARI. Show all posts
Showing posts with label HABARI. Show all posts

Matokeo ya Kidato cha NNE Mwaka 2015

Sunday, 21 February 2016

Assalaam alaykum warahamtullahi wabarakatuh,
Baraza la Mitihani Tanzania Necta limetangaza rasmi matokeo ya kidato cha NNE kwa mwaka 2015, Hongera kwa wale wote waliofaulu, tunamuomba Allah awape moyo wa ufahamu waendelee kusoma zaidi na zaidi, na wale ambao kwa bahati mbaya hawakufanikiwa basi wasivunjike moyo, wajiendeleze in shaa Allah Mola atawafungulia penye kheri na wao.

Kupata matokeo haya tafadhali bonyeza HAPA au kitufe hapo chini

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/Olevel.htm

Continue Reading | Maoni

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha sita

Thursday, 16 July 2015

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani kidato cha sita, tafadhali bofya kitufe hapo chini kuona.

Hongera kwa wote waliofaulu na pole kwa wote waliofeli, wasikate tamaa wajaribu bahati yao tena kwa kumtegemea Muumba, kwani jitihada haiondoi Kudra.
Tafadhali waambie marafiki kuhusu sisi.


Continue Reading | Maoni

2016 Norway Quota Scholarship Scheme for 800 Bachelors, Masters and PhD Students from Developing Countries

Tuesday, 14 July 2015

Quota Scholarship SchemeBrief description: The Norwegian Government offer scholarship funds for the Quota Scholarship scheme for Bachelor’s, Master’s and PhD Students from Developing Countries at universities and university colleges in Norway 2015/2016

Accepted Subject Areas: Students usually apply for degree programmes that serve as a continuation of their studies in their home country or for courses which can be a joint part of a degree programme in their home country (joint degree or sandwich programmes). Most of the programmes offered are at Master’s or PhD level, but the Quota Scheme also offers certain Bachelor’s study programmes.

About Scholarship
The main objective of the Quota Scheme is to contribute to capacity building through education that will benefit the home country of the students when they return. The Scheme is also intended to strengthen relations between Norway and the selected countries and thus contribute to internationalization at Norwegian institutions of higher education. Most universities and university colleges in Norway participate in the Quota scheme. The institutions involved are allocated a certain number of students under the programme each year. Most of the programmes offered are at Master’s or PhD level, but the Quota Scheme also offers certain Bachelor’s study programmes

Scholarship Offered Since: Not Specified
Selection Criteria


All candidates should typically have the following basic qualifications:
  • Secondary school certificates
  • Minimum two years of higher education from their home country
  • Some exceptions apply for certain professional educational courses at Bachelor’s level.
Eligibility
  • If you wish to participate in the Norwegian Government Quota Scholarship Scheme, you must apply directly from your home country.
  • You must have stayed at least one year in your home country directly prior to the planned course of study at the Norwegian university /University College.
  • To be eligible to apply for the Quota Scheme, you must be able to find your home country on the list below.
Number of Scholarships


The Quota Scheme currently provides funding for a total of 1,100 students, 800 of them from developing countries in the South and 300 from countries in the Western Balkans, Eastern Europe and in Central Asia.

Value of Scholarship

Each student receives the same amount of money as a Norwegian student would do in an equivalent educational programme. 40 per cent of the amount is given as a grant and 60 per cent as a loan. However, the loan portion may be waived when the student returns to his/her home country after completing the course of study. Students who stay in Norway after finishing their studies or take up residence in another country than their home country must repay the loan.
Travelling expenses for entry into Norway may be reimbursed (fixed price).

Duration of Scholarships: Normally, the financial support given will not exceed a time span of four years for one definite study plan or a combination of two programmes.

Eligible Developing Countries 

Afghanistan, Algeria, Angola, Bangladesh, Benin, Bhutan, Bolivia, Brazil, Burkina Faso, Burundi, Cambodia, Cameroon, Cape Verde, Central African Republic, China, Colombia, Comoros, Cuba, Dominican Republic, Djibouti, East Timor, Ecuador, Egypt, Equatorial Guinea, El Salvador, Eritrea, Ethiopia, Gambia, Ghana, Guatemala, Guinea, Guinea-Bissau, Guyana, Haiti, Honduras, India, Indonesia, Iraq, Iran, Ivory Coast, Jordan, Kenya, Kiribati, Laos, Lesotho, Liberia, Madagascar, Malawi, Maldives, Mali, Marshall islands, Mauritania, Micronesia, Mongolia, Morocco, Mozambique,  Myanmar (Burma), Namibia, Nepal, Nicaragua, Niger, Nigeria, Niue, North Korea, Pakistan, Palestinian territories, Papua New Guinea, Paraguay, Peru, Philippines, Republic of the Congo (Congo-Brazzaville), Rwanda, São Tomé & Príncipe, Senegal, Sierra Leone, Solomon islands, Somalia, Sri Lanka, Sudan, Swaziland, Syria, South Africa, Tanzania, Tchad, Thailand, The Democratic Republic of Congo (Zaire), Togo, Tonga, Tunisia, Tuvalu, Uganda, Vanuatu, Vietnam, Western Samoa, Zambia, Zimbabwe, Yemen
Countries in the Western Balkans, Eastern Europe and Central Asia
Albania, Armenia, Azerbaijan, Bosnia and Herzegovina, Georgia, Kyrgyzstan, Kosovo, Macedonia, Moldova, Russian Federation, Tajikistan, Turkmenistan, Ukraine, Uzbekistan
To be taken at (country): Norwegian Universities in Norway.

Application Deadline: varies depending on course and institution. But typically 1 December (each year)

Offered annually? Yes

How to Apply: The institutions of higher education that are part of the Quota Scheme handle all applications from prospective students.Information about the application procedure for the Quota Scheme should be available at the participating universities’ and university colleges’ websites. Visit the Scholarship Webpage for details
Sponsors: The Norwegian State Educational Loan Fund is responsible for managing the financial support provided the Norwegian Government.

Important Notes:
Most universities and university colleges in Norway participate in the Quota scheme. The institutions involved are allocated a certain number of students under the programme each year. The scheme normally includes courses at Master’s and Ph.D. level in addition to certain professional/Bachelor’s degrees. Most of the Norwegian institutions offer courses and educational programmes in English.

The deadline for applications for the Quota scheme is usually 1 December every year. Some courses and educational programmes may have different deadlines.

Source Click here 
Continue Reading | Maoni (12)

Skuli ya Uweleni Pemba yahitaji msaada

Tuesday, 2 June 2015

 MWALIMU anaeshughulikia majenzi skuli ya sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, Mohamed Ussi Shaame, akiwafahamisha jambo waandishi wa habari wa kujitegemea wanaoandikia gazeti la Zanzibar leo Pemba, wakati walipofika kuangalia maendeleo ya jengo hilo, ambalo linahitaji msaada wa haraka ili likamilike, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


MWANDISHI wa shirika la magazeti ya serikali Pemba, Abdi Juma Suleiman, aliesimama katikakati, akimsikiliza kwa makini mwalimu anaeshughulikia majenzi skuli ya sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, Mohamed Ussi Shaame, juu ya kuwataka waliohidi kutoa fedha taslimu shilingi 9.5 milioni, kwa ajili ya jengo hilo, kuharakisha michango yao,  (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Continue Reading | Maoni

Tangazo la Nafasi za masomo China

Wednesday, 18 March 2015

Kuna fursa ya kujiendeleza kimasomo Nchini China, ambapo muombaji anaomba moja kwa moja kupitia mtandao. Zipo fursa katika vyuo mbalimbali, fursa ambazo maelezo yake yajitosheleza ni kwa Chuo cha Beijing Insitute of Technology(BiT) na University of International Business and Economics(UIBE).
Lugha ya kufundishia:
Kiingereza(English) ndio lugha ambayo wanatumia kufundishia, isipokuwa ukihitaji kusoma kwa kichina pia hiyo fursa ipo.
Continue Reading | Maoni

Skuli ya Uweleni kisiwani Pemba yalia na Uzio

Friday, 23 January 2015



























Na Haji Nassor, Pemba
 
UONGOZI wa Skuli ya Sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, umesema unapata hofu na wasiwasi mkubwa wa usalama wa mali za skuli yao, na hasa baada ya kufanyiwa matengenezo makubwa, iwapo hatua za haraka za kujengewa uzio hazitofanyawa katika kipindi kifupi.

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Skulini hapo, Mwalimu anaesimamia majenzi Mohamed Ussi, alisema skuli hiyo kwa sasa ina mali nyingi ikiwa ni pamoja na kompyuta, vitabu na mali nyengine, hivyo ni vyema ujenzi huo ukafanywa.


Alisema, kama hilo halitofanyika mapema na hasa kabla ya mafundi waliopo hawajaondoka, watakosa raha kwa vile mali za skuli hazitakuwa na ulinzi wa kutosha kwa vile skuli itakuwa wazi.

Mohamed Ussi alieleza, tayari wao kama uongozi wa skuli hiyo wameshafanya juhudi za kuomba misaada mbali mbali na hata kuiandikia barua Afisi ya Makamu wa pili wa rais  ingawa hadi sasa hilo halijafanikiwa.
Continue Reading | Maoni

Milioni 120/ zahitajika kumalizia jengo la Mitihani Skuli ya Uweleni

Na Haji Nassor.

Zaidi ya Shilingi 120 milioni zinahitajika kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa jengo maalum la kufanyia mitihani la ghorofa moja na vyumba vitano vya madarasa, katika Skuli ya Sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba.

Akizungumza na Waandishi wa khabari kwa nyakati tofauti Mwalimu anayeshughulikia majenzi Shuleni hapa Maalim Muhammed Ussi Shaame amesema kwa sasa wameshatumia Shilinigi 22 Milioni kwa ajili ya Jiwe la Msingi.

Alisema kati ya fedha hizo walizotumia shilingi 3.5 Milioni ambapo ilikua ni saruji paketi 200, ambao ni msaada kutoka Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ) Miezi michache iliyopita.

Maalim Ussi alieleza, fedha nyengine walizotumia hadi kufikia hatua hiyo ya msingi ni shilingi 2 milioni kw hatua ya awali kutoka mfuko wa maendeleo wa Jimbo na baadaye Shilingi Milioni 8.

Aidha alisema hata Mwakilishi wa Jimbo la Mkoani Abdallah Muhammed Ali (KILOSA) Amechangia Shilingi 500,000/= katika ujenzi huo unaoendelea Skulini hapa.

Continue Reading | Maoni



  • The Members of UWESESCO shall be all students who have been admitted and registered
    to the School at various levels.



  • The active member shall be the one stipulated in the Article No.7 above provided
    that he or she is a full time student.



  • Non active member shall not be entitled to the rights in Article No.9 shall be the one
    who is in one or another fails to attend classes or he/she is not a full time student.



  • The membership retires upon the completion of his or her tenure at UWESESCO.


YALIYOJIRI UWESESCO LEO


 
Support : Masoud Khamis Hamed
Copyright © 2011. Skuli ya Sekondari ya Uweleni - All Rights Reserved