KARIBU UWESESCO - SKULI YA SEKONDARI YA UWELENI; P.O.BOX 100; TEL: +255 24 245 6182; EMAIL: uwesesco@gmail.com ;WEB: http://uwesesco.blogspot.com UWELENI MKOANI PEMBA...
Home » » Skuli ya Uweleni Pemba yahitaji msaada

Skuli ya Uweleni Pemba yahitaji msaada

 MWALIMU anaeshughulikia majenzi skuli ya sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, Mohamed Ussi Shaame, akiwafahamisha jambo waandishi wa habari wa kujitegemea wanaoandikia gazeti la Zanzibar leo Pemba, wakati walipofika kuangalia maendeleo ya jengo hilo, ambalo linahitaji msaada wa haraka ili likamilike, (Picha na Haji Nassor, Pemba).


MWANDISHI wa shirika la magazeti ya serikali Pemba, Abdi Juma Suleiman, aliesimama katikakati, akimsikiliza kwa makini mwalimu anaeshughulikia majenzi skuli ya sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, Mohamed Ussi Shaame, juu ya kuwataka waliohidi kutoa fedha taslimu shilingi 9.5 milioni, kwa ajili ya jengo hilo, kuharakisha michango yao,  (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Share this article :

No comments:

Post a Comment



  • The Members of UWESESCO shall be all students who have been admitted and registered
    to the School at various levels.



  • The active member shall be the one stipulated in the Article No.7 above provided
    that he or she is a full time student.



  • Non active member shall not be entitled to the rights in Article No.9 shall be the one
    who is in one or another fails to attend classes or he/she is not a full time student.



  • The membership retires upon the completion of his or her tenure at UWESESCO.


 
Support : Masoud Khamis Hamed
Copyright © 2011. Skuli ya Sekondari ya Uweleni - All Rights Reserved