Sunday 21 February 2016

Matokeo ya Kidato cha NNE Mwaka 2015

Assalaam alaykum warahamtullahi wabarakatuh,
Baraza la Mitihani Tanzania Necta limetangaza rasmi matokeo ya kidato cha NNE kwa mwaka 2015, Hongera kwa wale wote waliofaulu, tunamuomba Allah awape moyo wa ufahamu waendelee kusoma zaidi na zaidi, na wale ambao kwa bahati mbaya hawakufanikiwa basi wasivunjike moyo, wajiendeleze in shaa Allah Mola atawafungulia penye kheri na wao.

Kupata matokeo haya tafadhali bonyeza HAPA au kitufe hapo chini

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/Olevel.htm

No comments:

Post a Comment