Thursday 16 July 2015

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha sita

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani kidato cha sita, tafadhali bofya kitufe hapo chini kuona.

Hongera kwa wote waliofaulu na pole kwa wote waliofeli, wasikate tamaa wajaribu bahati yao tena kwa kumtegemea Muumba, kwani jitihada haiondoi Kudra.
Tafadhali waambie marafiki kuhusu sisi.


No comments:

Post a Comment