KARIBU UWESESCO - SKULI YA SEKONDARI YA UWELENI; P.O.BOX 100; TEL: +255 24 245 6182; EMAIL: uwesesco@gmail.com ;WEB: http://uwesesco.blogspot.com UWELENI MKOANI PEMBA...

Matokeo ya Kidato cha NNE Mwaka 2015

Sunday 21 February 2016

Assalaam alaykum warahamtullahi wabarakatuh,
Baraza la Mitihani Tanzania Necta limetangaza rasmi matokeo ya kidato cha NNE kwa mwaka 2015, Hongera kwa wale wote waliofaulu, tunamuomba Allah awape moyo wa ufahamu waendelee kusoma zaidi na zaidi, na wale ambao kwa bahati mbaya hawakufanikiwa basi wasivunjike moyo, wajiendeleze in shaa Allah Mola atawafungulia penye kheri na wao.

Kupata matokeo haya tafadhali bonyeza HAPA au kitufe hapo chini

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/Olevel.htm

Continue Reading | Maoni



  • The Members of UWESESCO shall be all students who have been admitted and registered
    to the School at various levels.



  • The active member shall be the one stipulated in the Article No.7 above provided
    that he or she is a full time student.



  • Non active member shall not be entitled to the rights in Article No.9 shall be the one
    who is in one or another fails to attend classes or he/she is not a full time student.



  • The membership retires upon the completion of his or her tenure at UWESESCO.


YALIYOJIRI UWESESCO LEO


 
Support : Masoud Khamis Hamed
Copyright © 2011. Skuli ya Sekondari ya Uweleni - All Rights Reserved